Customer care

Lorem ipsum dolor sit amet consectetur. Lorem ipsum dolor sit
amet consectetur.

Chat

Lorem ipsum dolor sit amet
consectetur. Non molestie.

Call

Lorem ipsum dolor sit amet
consectetur. Non molestie.

Email

Lorem ipsum dolor sit amet
consectetur. Non molestie.

FAQs

Lorem ipsum dolor sit amet
consectetur. Non molestie.

Follow us

Join our social community

Bima ya Chombo cha Moto

Bima ya chombo cha usafiri ni bidhaa ya bima ambayo inalenga kukulinda na hasara endapo chombo chako cha moto kitaharibika, au madai ya watu wengine yatapotolewa. Hasara inaweza kutokea kwa ajali (moto, mlipuko, kugonga, n.k.), wizi na matukio mengine mengi yanayoweza kulipwa baada ya madai kufanyika. Huduma hii ya bima ni mahususi kwa aina mbalimbali za vyombo vya moto kama vile, Gari, Pikipiki, Bajaj, Basi, Lori, Tanker, trekta na mengine, yaliyosajiliwa kwa matumizi ya binafsi na kibiashara. Wateja wa Tigo Pesa wanaweza kusajili magari yao, kununua bima ndogo, na kufungua madai ya fidia, kwa kutumia simu zao za mkononi, kupitia Tigo Pesa. Kwa maelezo zaidi vigezo na masharti tembelea https://web.bimapap.co.tz/docs/policy.pdf

MUONGOZO WA UTUMIAJI KWA USSD

Jinsi ya Kusajili chombo na kulipia

Jinsi ya kununua Bima Ndogo

Jinsi Ya Kufungua Madai:

Maswali ya mara kwa mara

Mteja yeyote anayemiliki gari anastahili kuomba bima kuomba aina hii ya bima.
Bima hii humlinda mteja kwa kipindi cha mwaka moja kuanzia tarehe ambayo bima hiyo ilinunuliwa.
Hapana! Hakuna gharama zozote zinazohusishwa unapojisajili bima hii ya vyombo vya moto.
Piga *150*01#, Chagua (7) Huduma za kifedha, >> (3) Bima Mkononi >> (2) Motor Insurance kisha fuata maelekezo.
Ada ya bima italipwa kupitia Tigo Pesa wakati wa kununua bima hii.
Mfumo mpya wa kielektroniki wa huduma ya Bima za vyombo vya moto hautoi stika, taarifa zako zote zitapatikana mtandaoni.
Kiwango cha fidia kitategemeana na hasara iliyopatakina kama ilivyoelezwa kwenye vigezo na masharti ya bima hii.
Mteja hatofidiwa kama vigezo na masharti ya bima hii hayatofuatwa.
Ndio, Mkataba wa bima unaweza kufufuliwa na kuanza upya Kulingana na uhitaji wa mteja, na baada ya kupita kwa kipindi cha mwaka mmoja wa mkataba huo.
Iwapo mteja atahitaji kuripoti madai yoyote; Mteja atapaswa kupiga *150*01# chagua (7): Huduma za Kifedha, chagua (3): Bima, Chagua (2): Bima ya Magari na kuchagua (3): Madai na kisha ufuate maelekezo ya kufungua madai.
Tafadhali, Piga 100 kuwasiliana na Tigo Huduma Kwa Wateja kwa msaada zaidi. (Au Milembe Insurance huduma 0xxx xxxxxx)

Vigezo na Masharti:

Kwa maelezo zaidi tembelea Tigo Pesa vigezo na masharti

Sorry !

We are currently not selling online. You can
visit our stores